- Joined
- Mar 14, 2026
- Messages
- 33,422
Naomba kufahamishwa kwa mwenye kujua duka la rejareja la kuuza mchele, juice na kadhalika linaweza kuitaji mtaji kiasi gani
Ibravo post:
Habari zenu Wana JamiiForums,
Mimi ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa tatu, katika harakati za kujiandaa na kupambana na maisha pindi nitakapohitimu elimu yangu na kurudi mtaani, nimetafuta pesa ikiwa kama mtaji wa biashara milioni moja (1, 000, 000)hasa ya duka la bidhaa za vyakula.
Tatizo ni kwamba si mzoefu katika biashara na ni mara ya kwanza kutaka kuifanya hii biashara kwan matarajio yangu ni kujiajiri mwenyewe.
Naomba ushauri kwa yeyote mwenye uelewa kuhusu hili kunipa mchanganuo wa bidhaa muhimu zinazotakiwa kuwepo dukani kama vile unga kiasi gani, mchele n. k kulingana na mtaji huo wa Milioni Moja.
Natanguliza Shukrani zangu.
BAADHI YA MASWALI YA WADAU WENGINE KUHUSU BIASHARA HII
MAONI MBALIMBALI KUHUSU BIASHARA HII
PIA, SOMA MADA HIZI:
Biashara ya duka la rejareja inahitaji roho ngumu
Kwa wanaosema biashara ya duka haina faida, soma hapa tafadhali - JamiiForums
Una duka dogo la rejareja, mtaji ni mdogo na umezungukwa na maduka mengi na ushindani ni mkubwa? - JamiiForums
Original publication date: 2026-09-05
Ibravo post:
Habari zenu Wana JamiiForums,
Mimi ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa tatu, katika harakati za kujiandaa na kupambana na maisha pindi nitakapohitimu elimu yangu na kurudi mtaani, nimetafuta pesa ikiwa kama mtaji wa biashara milioni moja (1, 000, 000)hasa ya duka la bidhaa za vyakula.
Tatizo ni kwamba si mzoefu katika biashara na ni mara ya kwanza kutaka kuifanya hii biashara kwan matarajio yangu ni kujiajiri mwenyewe.
Naomba ushauri kwa yeyote mwenye uelewa kuhusu hili kunipa mchanganuo wa bidhaa muhimu zinazotakiwa kuwepo dukani kama vile unga kiasi gani, mchele n. k kulingana na mtaji huo wa Milioni Moja.
Natanguliza Shukrani zangu.
BAADHI YA MASWALI YA WADAU WENGINE KUHUSU BIASHARA HII
MAONI MBALIMBALI KUHUSU BIASHARA HII
PIA, SOMA MADA HIZI:
Biashara ya duka la rejareja inahitaji roho ngumu
Kwa wanaosema biashara ya duka haina faida, soma hapa tafadhali - JamiiForums
Una duka dogo la rejareja, mtaji ni mdogo na umezungukwa na maduka mengi na ushindani ni mkubwa? - JamiiForums
Original publication date: 2026-09-05