Bei ya unit moja ya maji kwa Dar es Salaam

PamojaForums · Sep 6, 2026 at 1:48 AMReplies 0 · Views 0
#1
Wakuu nilikuwa naomba kujua kuwa Bei ya unit moja ya maji kwa Dar es Salaam ni kiasi gani?

DAWASCO

Natanguliza shukurani nyingi


 
No reactions yetReply / React
Continue the discussion on PamojaForumsOpen full thread