Msaada: Namna ya kupata line ya Tigo Pesa, M-Pesa na Airtel Money?

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Wakuu hapo juu kichwa cha habari chajieleza. Naomba msaada namna ya kupata line mpya kwa ajili ya kufanya biashara. Naomba kuelewa utaratibu upoje, pia kwa mtu anayeuza naomba bei na maelekezo mengine.


Asanteni sana.


 
 
Back
Top Bottom